Nokia Asha 311 - Misimbo ya ufikivu

background image

Misimbo ya ufikivu

Msimbo wa PIN

au PIN2
(dijiti 4-8)

Hizi hulinda SIM yako dhidi ya matumizi

yasiyodhinishwa au yanayohitajika ili kufikia

vipengee vingine.
Unaweza kuweka simu yako kukuuliza msimbo wa

PIN wakati unapokiwasha.
Kama haijapeanwa pamoja na SIM yako au ulisahau

misimbo, wasiliana na mtoa huduma wako.
Ukicharaza msimbo usio sahihi mara tatu

mfululizo, unahitaji kufungua msimbo na msimbo

wa PUK au PUK2.

Msimbo wa PUK

au PUK2
(dijiti 8)

Hizi zinahitajika ili kufungua msimbo wa PIN au

PIN2.
Kama haijapeanwa pamoja na SIM yako, wasiliana

na mtoa huduma wako.

Nambari ya IMEI
(dijiti 15)

Hii hutumiwa ili kutambua simu halali katika

mtandao. Nambari inaweza pia kutumiwa ili

kufunga, kwa mfano, simu zilizoibiwa. Huenda pia

ukahitaji kupeana namba ya huduma za Nokia

Care.
Ili kuona nambari yako ya IMEI, piga *#06#.

Msimbo wa

kufunga

Hii hukusaidia kulinda simu yako dhidi ya matumizi

yasiyoruhusiwa.

93

background image

(msimbo wa

usalama)
(isiyozidi dijiti 5)

Unaweza kuseti simu yako kukuuliza msimbo wa

kufunga ambao unafasili. Msimbo mbadala wa

kufunga ni 12345.
Tunza msimbo kwa siri na katika mahali salama,

kando na simu yako.
Ukisahau msimbo na simu yako kifungwe, simu

yako itahitaji huduma. Gharama za ziada huenda

zikatumika, na data zote za kibinafsi katika simu

yako huenda zikafutika.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana na Nokia Care au

muuzaji wa simu yako.

94